Skip to main content

Posts

Featured

UWEKEZAJI MKUBWA ULIOFANYWA NA SERIKALI KITUO CHA GESI ASILIA MLIMANI WALETA NAFUU KWA WANANCHI

  UWEKEZAJI MKUBWA ULIOFANYWA NA SERIKALI KITUO CHA GESI ASILIA MLIMANI WALETA NAFUU KWA WANANCHI *Kituo kina uwezo wa kujaza gesi asilia kwenye magari na bajaji 800 kwa siku *Mhe. Salome Makamba ahamasisha Sekta binafsi kuwekeza katika eneo la gesi asilia *Mikoa ya Morogoro, Dodoma, Arusha, Kilimanjaro na Tanga kufikiwa na vituo vya gesi asilia NA MWANDISHI WETU Naibu waziri wa  Nishati Mhe.Salome Makamba ameeleza kuwa, Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika kujenga kituo cha kujaza gesi asilia kwenye vyombo vya usafiri katika eneo la Mlimani jijini Dar es Salaam ambapo zaidi ya sh.Bilioni 12 zimetumika kukamilisha kituo hicho chenye uwezo wa kuhudumia magari madogo na bajaji 800 kwa siku. Mhe.Salome amebainisha hayo Novemba 12, 2025 Jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake ya kukagua kituo hicho kinachosimamiwa na Kampuni Tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania(TPDC) ya GASCO.  Mhe. Salome ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia ...

Latest Posts

RC CHALAMILA AFUNGUA MAFUNZO YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA MKUU WA MKOA - DSM

ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YATOLEWA KWA WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO.

MRADI WA UPANUZI WA KITUO CHA KUPOKEA NA KUPOZA UMEME CHA KINYEREZI I EXTENSION UMEKAMILIKA – NAIBU WAZIRI SALOME

Heko Watanzania kwa kupuuza wito wa madalali wauza Umoja na Amani-Mbeto

Waziri Mkenda asema serikali inafanya mageuzi makubwa ya Elimu Tanzania

ADO AKUTANA NA WADAU WA SEKTA YA MADINI TUNDURU

TANESCO YAZINDUA RASMI MITA JANJA NCHI NZIMA, YAAHIDI KUDHIBITI WIZI WA UMEME

MBUNGE SHINGO AAPA KUIINUA UKONGA, AANZA MAFUNZO BURE KWA VIJANA 140

VIJANA WABUNIFU NDIYO WENYE HATMA YA TANZANIA - WAZIRI MKUU

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MAADHIMISHO YA WIKI YA KIMATAIFA YA USUGU WA VIMELEA VYA MAGONJWA DHIDI YA DAWA