Skip to main content

Posts

Featured

KATIBU MKUU UWT AWAHIMIZA WANAWAKE WA KILOLO KUKIHESHIMISHA CHAMA KWA KURA NYINGI

  KATIBU MKUU UWT AWAHIMIZA WANAWAKE WA KILOLO KUKIHESHIMISHA CHAMA KWA KURA NYINGI NA MWANDISHI WETU,KILOLO Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa Ndg. Suzan Peter Kunambi (MNEC), amewahimiza wanachama kujitokeza kwa wingi kupiga kura nyingi za  ndio hata kama kuna sehemu kuna mgombea amepita bila kupingwa. Katibu Kunambi ameyabainisha hayo wakati wa   mkutano wa ndani katika Kata ya Nyalumbu, Wilaya ya Kilolo,ambapo amesema wanachama wanapaswa kutofanya makosa na badala yake kumpa kura nyingi za kishindo Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan. "Kitu kikubwa ambacho ninawaomba wanachama wa ccm wa kilolo hususan wanawake tunapaswa kuwa mstari wa mbele katika kupiga kura za ndio hata kama mgombea fulani amepitwa bila kupimgwa,"amebainisha Katibu huyo. Amebainisha kwamba ni vema kuweka mikakati kabambe ambayo itaweza kukisaidia chama cha mapinduzi kiweze kupata ushindi wa kishindo katika Mafiga matatu ambayo ni nafasi ya Urais,Udiwani pamoja na Ubung...

Latest Posts

MBETO AMUUMBUA JUSSA BEI YA KARAFUU ZBAR

WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

SERIKALI YA AUSTRIA KUFADHILI MIRADI YA UMEME TANZANIA

UYOVU WAMKUBALI DKT. SAMIA, KUMPIGIA KURA NYINGI OKTOBA 29, Dkt. Biteko kuifanya Uyovu kuwa kitovu cha biashara Bukombe

ZAIDI YA BILIONI 39 ZATENGWA NA TBS KUJENGA MAABARA ZA KISASA NCHINI

NIDA YAANDIKISHA WENYE ULEMAVU,YASITIZA KITAMBULISHO CHA TAIFA NI MUHIMU

AAFP KUJENGA BWAWA LA MAMBA IKULU LA KUADHIBIA MAFISADI,WAKISHIKA DOLA

TUTAKABILIANA NA ATHARI YA MAFURIKO KIGOMA ASEMA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

KOKA:CCM KULETA MAGEUZI YA KIMAENDELEO KWA WANANCHI KATA YA KIBAHA

DOYO: SITAVUMILIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI, MADINI YA TANZANITE YAWANUFAISHE WANANCHI WA MANYARA