Skip to main content

Posts

Featured

MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA

 MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA  WMA - DODOMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla amewaelekeza wajumbe wa  menejimenti ya Wakala hiyo kuwa na majadiliano ya wazi na yenye tija yanayolenga kuboresha zaidi huduma kwa wananchi hivyo kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kujenga nchi. Ametoa wito huo mapema leo Machi 26, 2026 wakati akifungua   kikao kazi cha Menejimenti kilichoketi kupitia utekelezaji wa mpango na bajeti ya mwaka 2025/26 na kupitia mpango na bajeti wa mwaka wa fedha 2026/27. "Majadiliano yetu yawe ya wazi na kila mmoja atoe mchango wenye tija kwa manufaa ya Taifa letu," amesisitiza. Aidha, Mtendaji Mkuu Kihulla amewataka wajumbe wa kikao hicho kinachofanyika katika ukumbi wake wa Makao Makuu, eneo la Medeli Dodoma, kuhakikisha wanaudadavua na kuuchambua kwa kina mpango na bajeti ya mwaka wa fedha ujao ili kuwezesha utekelezaji wenye tija. Wakala wa Vipimo iko c...

Latest Posts

WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI*

D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI

Fainali za Kabwili Cup 2026 Kutikisa Dar , Bingwa Kuzawadiwa Gari Alhamis hii

NSSF YAJIVUNIA UWEKEZAJI KUPITIA MRADI WA MZIZIMA TOWERS NA FURSA MPYA ZA BIASHARA NA UTALII DAR

MKUTANO WA TANZANIA NA UGANDA KUIMARISHA USHIRIKIANO WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

MAJALIWA AFUTURISHA WAUMINI MBALIMBALI WA DINI YA KIISLAM KATIKA IFTAR MAALUM DAR ES SALAAM

JAFO AWATAKA WAISLAMU KUWATHAMINI WALIMU WA MADRASA,AWAPA MOTISHA

MCHANGO WA WMA KUWEZESHA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE WATAMBULIWA

KAMPUNI YA ZERA YAZINDUA MAGARI YANAYOTUMIA UMEME, UKICHAJI UNATEMBEA KM 300

WANAWAKE WA TANESCO WANG’ARA KATIKA KONGAMANO LA NISHATI SAFI DAR ES SALAAM