Skip to main content

Posts

Featured

MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026

 MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026 Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA) Alban Kihulla ametuma ujumbe wa shukrani na pongezi kwa wafanyakazi wa Wakala hiyo, siku ya maadhimisho ya siku ya Mei Mosi, 2026. Katika Andiko hilo, Mtendaji Mkuu ameielezea siku ya Mei Mosi kuwa ni sehemu ya kutambua mchango mkubwa wa wafanyakazi hao katika kujenga uchumi imara kupitia matumizi sahihi ya Vipimo vilivyo katika usahihi unaokubalika kimataifa. "Ninajivunia kujituma kwenu, uadilifu, na weledi mnaouonesha kila siku katika uhakiki na ukaguzi wa Vipimo pamoja na ukaguzi wa bidhaa zilizofungashwa.  Kazi yenu ina mchango mkubwa katika kuimarisha biashara yenye haki, kuongeza imani kwa walaji, na kukuza maendeleo ya taifa letu." Aidha, ameongeza kuwa katika kipindi hiki cha mabadiliko ya teknolojia na ukuaji wa sekta mbalimbali, anawiwa zaidi kuwapongeza kwa kuendelea kujifunza, kuboresha ufanisi, na kuendana na mahitaji mapya ya kazi....

Latest Posts

SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI

VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA.

KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LAJA NA SWIFPACK,LAINGIA MKATABA NA MADEREVA DAR

TANZANIA NI NCHI TAJIRI WAZEE WETU WALITUACHIA RASILIMALI TUZITUMIE VIZURI:SHIGONGO

FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA

MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA

WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI*

D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI

Fainali za Kabwili Cup 2026 Kutikisa Dar , Bingwa Kuzawadiwa Gari Alhamis hii