Skip to main content

Posts

Featured

WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

 WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI  *Na WMA - MWANZA*   Wakala wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki, baada ya kutangazwa kuwa taasisi bora katika kategoria ya  mashirika, wakala na taasisi za umma. Ushindi huo umetangazwa leo Septemba 3, 2026 wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho hayo katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza.  Mgeni Rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Denis Londo, aliyemwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Judith Kapinga. Akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu, mara baada ya kupokea tuzo hiyo iliyohusisha kombe na cheti maalum cha ushindi, Mkurugenzi wa Huduma Saidizi Bw. Christopher Mwakibinga amesema ushindi huo ni wa wananchi na wadau wote wa WMA waliokuwa mstari wa mbele kutembelea banda lao tangu maonesho yalipoanza tarehe 28 Agosti, 2026. "Tuzo hii ni ya wananchi na wadau wetu. Tangu siku ya ...

Latest Posts

TUZO NNE ZANYAKUWA NA KAMPUNI YA HANSPAUL GROUP,USIKU WA PMYA 2026

SERIKALI YATOA MAELEKEZO 13 KUKABILIANA NA EL-NINO

AFISA UGAVI WMA AHAMASISHA UHAKIKI VIFAA VYA VIPIMO BAADA YA UNUNUZI

KATAMBI AWASAMEHE WASANII 21, NIFFER, NOEL NA ANKO T WAITWA TENA

WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA

WATU 11 MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MIUNDOMBINU YA TTCL

WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO KWENYE VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA

KONGAMANO LA NNE LA KIMATAIFA LA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE HAI LAFUNGULIWA DAR

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA VULI OKTOBA–DESEMBA 2026, EL NIÑO YATAJWA KUCHANGIA MVUA KUBWA

WAZIRI KAIRUKI:- UBORA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAONGEZEKA, UTAPELI WAPUNGUA