Skip to main content

Posts

Featured

TUZO WA WORLD TRAVEL KUFANYIKA ZANZIBAR AGOSTI 28

  ZANZIBAR KUWA MWENYEJI WA WORLD TRAVEL AWARDS KWA MARA YA KWANZA Zanzibar imepewa fursa ya kuwa mwenyeji wa tuzo za  33 za World Travel Awards , hatua inayolenga kuitangaza zaidi Zanzibar katika ramani ya utalii duniani na kuongeza fursa za uwekezaji katika sekta hiyo. Zaidi ya wageni 250 kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kushiriki katika tukio hilo, wakiwemo wawekezaji katika sekta ya hoteli pamoja na wawakilishi wa mashirika ya ndege. Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Leo Agosti 24,2026 kuhusu tukio hilo, Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar, Suleiman Ali Mohamed, amesema kuwa,kuwa mwenyeji wa tuzo hizo ni fursa kubwa kwa Zanzibar kutangaza vivutio vyake vya utalii, kukuza uwekezaji na kuhakikisha wananchi wananufaika na sekta hiyo kupitia dhana ya utalii endelevu. Amesema Serikali pia inalenga kuimarisha miundombinu ya utalii ili kuwezesha kufikiwa kwa malengo ya kukuza sekta hiyo na kuongeza mchango wake katika uchumi wa Zanzibar....

Latest Posts

KONGAMANO LA NNE LA KIMATAIFA LA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE HAI LAFUNGULIWA DAR

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA VULI OKTOBA–DESEMBA 2026, EL NIÑO YATAJWA KUCHANGIA MVUA KUBWA

WAZIRI KAIRUKI:- UBORA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAONGEZEKA, UTAPELI WAPUNGUA

WMA YAWAFUNDISHA WATOTO VIPIMO: NAIBU WAZIRI MALIASILI APONGEZA

WAKALA WA VIPIMO WAELEZA TIBA YA GESI PUNGUFU

TANZANIA BEACH LOFEGUARDS YAADHIMISHA SIKU YA KUZUIA KUZAMA,YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

JAJI MSHIBE ASISITIZA MAANDALIZI YA KISEKTA KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI

JKT YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA BIDHAA ZA KILIMO NA UVUVI SABASABA,JAVINUNIA

TIRDO YAJA NA DAWA ASILI YA MIMEA YA KUCHAKATA NGOZI,HAUTUMII TENA KEMIKALI