Skip to main content

Posts

Featured

FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA

  FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA  TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH  BILIONI 154 ZATUMIKA   Na Mwandishi Wetu. Katika kukuza uwekezaji ambao inafanyika ndani ya nchi ,Kampuni ya Fortune Paper Group kupitia kiwanda chake cha Fortune Paper Factory Kibaha  kinachomilikiwa na raia wa China,ambayo imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 154 nchini Tanzania tangu mwaka 2022 kimesema kunahitajika sera madhubiti kulinda wazalishaji wa ndani   Kampuni hiyo imeshauri kuwepo  wa sera kutoka serikalini ili kulinda biashara yake ya uzalishaji inayotegemea urejelezaji dhidi ya kile inachokiita ushindani usio wa haki kutoka kwa bidhaa za bei nafuu zinazoagizwa kutoka nje. Katika mahojiano maalum yaliyofanyika pembeni ya maonesho ya Siku ya Kimataifa ya Zero Waste yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja,kampuni hiyo imesema inapanga kupanua uzalishaji na kuimarisha uwekezaji wake wa muda mrefu nchini Tanzania,ambao kwa sasa inaajiri zaidi ya wafanyakazi 150 waza...

Latest Posts

MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA

WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI*

D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI

Fainali za Kabwili Cup 2026 Kutikisa Dar , Bingwa Kuzawadiwa Gari Alhamis hii

NSSF YAJIVUNIA UWEKEZAJI KUPITIA MRADI WA MZIZIMA TOWERS NA FURSA MPYA ZA BIASHARA NA UTALII DAR

MKUTANO WA TANZANIA NA UGANDA KUIMARISHA USHIRIKIANO WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

MAJALIWA AFUTURISHA WAUMINI MBALIMBALI WA DINI YA KIISLAM KATIKA IFTAR MAALUM DAR ES SALAAM

JAFO AWATAKA WAISLAMU KUWATHAMINI WALIMU WA MADRASA,AWAPA MOTISHA

MCHANGO WA WMA KUWEZESHA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE WATAMBULIWA

KAMPUNI YA ZERA YAZINDUA MAGARI YANAYOTUMIA UMEME, UKICHAJI UNATEMBEA KM 300