Skip to main content

Posts

Featured

MAKONDA: MAREKEBISHO UWANJA WA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA AFCON 2027 YANAENDELEA VIZURI

  MAKONDA: MAREKEBISHO UWANJA WA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA AFCON 2027 YANAENDELEA VIZURI Februari 09, 2026 DAR ES SALAAM.  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameongoza ziara ya ukaguzi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam kama sehemu ya maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Katika ziara hiyo, Waziri Makonda aliambatana na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA, Katibu Mkuu wa wizara, Gerson Msigwa, pamoja na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia. Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Makonda amesema lengo kuu la ziara hiyo ni kubaini maeneo yanayohitaji maboresho ili kuhakikisha uwanja huo unakidhi viwango vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa ajili ya kuandaa mashindano hayo ya kimataifa. Amebainisha kuwa Tanzania ipo katika hatua muhimu ya maandalizi ya AFCON 2027, ambayo itashirikishwa na nchi tatu za Afrika Mashariki — Tanzania, Kenya na Ugan...

Latest Posts

KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI HIFADHI YA TAIFA NYERERE

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Tonali kuziba pengo la Casemiro Man United?

Singida Black Stars Watupwa Nje ya CAFCC Baada ya Kifungwa 1-0 na CR Belouizdad

JE ?YANGA WANA MATUMAINI YAKUTOSHA KIMATAIFA?

RAIS DKT SAMIA KUZINDUA SOKO LA KARIAKOO JUMAPILI HII

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA MASIKA NCHINI,YATOA TAHADHARI HIZI

MARUFUKU MICHANGO HOLELA KWENYE SHULE ZA KATA YANGU: DIWANI MUSHI

MCHANGE AILIPUA CHADEMA/ AWATAKA WAACHE KUPOTOSHA

HUU HAPA UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO NCHINI TANZANIA KUANZIA SAA 3 USIKU WA LEO

Serikali kununua matrekta 10000-Dk. Mwigulu