Skip to main content

Posts

Featured

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

 WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO  MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA Wadau mbalimbali waliotembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Juni 16, 2026 wamekiri kuvutiwa na elimu inayotolewa na timu ya wataalamu kuhusu matumizi sahihi ya vipimo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, Nadhifa Nyoni kutoka Mamlaka ya Maji (TANGA UWASA), Rose Mmary (JWTZ) na Janeth Matara, mwananchi mkazi wa Dodoma, wamepongeza kazi zinazofanywa na WMA na kukiri kuwa elimu waliyoipata kutoka kwa wataalamu imewaongezea uelewa kuhusu vipimo. Kwa upande wake, Abbas Kayanda, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma, pamoja na kupongeza kazi nzuri inayofanywa na WMA, ameshauri kuongeza nguvu katika utoaji elimu ya vipimo ili kuwapatia uelewa wananchi wengi zaidi hususan walioko vijijini. Ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2026 yaliyoanza leo, Juni 16 katika uwanja wa Chinangali Dodoma, yatahitimishwa Juni 23...

Latest Posts

WATANZANIA WATAKIWA KUWAKATAA WANAHARAKATI WALIOCHOCHEA VURUGU OKTOBA 29,WALILIPWA NA MABEBERU

JAJI MWAMBEGELE AWAPA NENO MAKARANI WA UCHAGUZI ISIMANI

Nemc yaadhimisha miaka 40 kwa kishindo tangu Kuanzishwa kwake.

KUTEKWA KWA DJUMBE KWAIBUA MASWALI

Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla

SEHEMU YA KICHA CHA JAMES TEMBA YAPATIKANA,POLISI YAMTIA MBARONI MGANGA

UJIO WA KAGAME, RUTO AIBU KWA MAKUWADI WA KISIASA EA - MBETO

VIJANA ACT WAZALENDO WASHAURI KUPUNGUZWA KWA KODI ZA MAFUTA ILI KULETA UNAFUU WA MAISHA KWA WATANZANIA

NJOMBE YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

DKT. NEEMA MAJULE: MAJI YASIWE KWENYE MAKARATASI TENA, TUFANYE UTAFITI