Skip to main content

Posts

Featured

WATU 11 MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MIUNDOMBINU YA TTCL

  WATU 11 MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MIUNDOMBINU YA TTCL   DAR ES SALAAM:  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu 11, akiwemo Timothy Eshemo maarufu kwa jina la Jack, kwa tuhuma za kuiba miundombinu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Taarifa hiyo imetolewa Agosti 27, 2026 na Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. SACP Muliro amesema baadhi ya watuhumiwa hao wanadaiwa kujihusisha na kupanga uhalifu, kuiba pamoja na kununua miundombinu hiyo kwa lengo la kufanya biashara. Amesema miundombinu inayodaiwa kuibwa ni pamoja na nyaya za shaba (copper cables), ambazo zimekuwa zikisababisha kukatika au kuathiriwa kwa huduma za mawasiliano katika taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi. “Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linalaani hujuma hizi na litawashughulikia wale wote wanaohusika kupanga na kuiba miundombinu hiyo,” amesema SA...

Latest Posts

WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO KWENYE VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA

KONGAMANO LA NNE LA KIMATAIFA LA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE HAI LAFUNGULIWA DAR

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA VULI OKTOBA–DESEMBA 2026, EL NIÑO YATAJWA KUCHANGIA MVUA KUBWA

WAZIRI KAIRUKI:- UBORA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAONGEZEKA, UTAPELI WAPUNGUA

WMA YAWAFUNDISHA WATOTO VIPIMO: NAIBU WAZIRI MALIASILI APONGEZA

WAKALA WA VIPIMO WAELEZA TIBA YA GESI PUNGUFU

TANZANIA BEACH LOFEGUARDS YAADHIMISHA SIKU YA KUZUIA KUZAMA,YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

JAJI MSHIBE ASISITIZA MAANDALIZI YA KISEKTA KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI

JKT YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA BIDHAA ZA KILIMO NA UVUVI SABASABA,JAVINUNIA