Skip to main content

Posts

Featured

CHUO CHA DMI CHASISITIZA UWEKEZAJI MKUBWA ELIMU, TEKNOLOJIA:UCHUMI WA BULUU

  CHUO CHA DMI CHASISITIZA  UWEKEZAJI MKUBWA ELIMU, TEKNOLOJIA,UCHUMI WA BULUU Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), Profesa Tumaini Gurumo, amesema Tanzania inahitaji kuongeza uwekezaji katika elimu, teknolojia, rasilimali watu na utekelezaji wa sheria ili kuhakikisha uchumi wa buluu unakuwa endelevu na unawanufaisha wananchi pamoja na Taifa kwa ujumla. Amesema hayo Septemba 9,2026 jijini Dar es salaam wakati akitoa ufafanuzi juu ya baadhi ya mambo yaliyoibuliwa katika Kongamano la Kimataifa la Tano la Uchumi wa Buluu huku akisisitiza kuwa pamoja na kuongeza matumizi ya rasilimali za bahari kwa ajili ya manufaa ya kiuchumi, ni muhimu pia kuzilinda na kuzitunza ili zisimalizike kutokana na matumizi yasiyo endelevu. “Tunatambua kwamba tunatazama matumizi bora ya maji tuliyonayo na rasilimali zake kwa faida za kiuchumi, lakini tusije tukajisahau kwamba tusipozitunza rasilimali hizi zinaweza kufikia mwisho na kuisha,” amesema Profesa Gurumo...

Latest Posts

OTR kuongeza kasi ya mageuzi ili kukuza tija ya uwekezaji

WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

TUZO NNE ZANYAKUWA NA KAMPUNI YA HANSPAUL GROUP,USIKU WA PMYA 2026

SERIKALI YATOA MAELEKEZO 13 KUKABILIANA NA EL-NINO

AFISA UGAVI WMA AHAMASISHA UHAKIKI VIFAA VYA VIPIMO BAADA YA UNUNUZI

KATAMBI AWASAMEHE WASANII 21, NIFFER, NOEL NA ANKO T WAITWA TENA

WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA

WATU 11 MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MIUNDOMBINU YA TTCL

WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO KWENYE VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA

KONGAMANO LA NNE LA KIMATAIFA LA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE HAI LAFUNGULIWA DAR