Skip to main content

Posts

Featured

MALOTO AONESHA MCHANGANYIKO WA KAULI YA DKT. NCHIMBI NA MWELEKEO WA RAIS SAMIA KUHUSU KATIBA

 MALOTO AONESHA MCHANGANYIKO WA KAULI YA DKT. NCHIMBI NA MWELEKEO WA RAIS SAMIA KUHUSU KATIBA HOJA SI ‘KATIBA MPYA’ BALI NI MANENO ‘PAMBANENI, KOMAENI TUPATE KATIBA MPYA- MCHAMBUZI MANENO ‘KOMAENI NA PAMBANENI’ KUHUSU KATIBA YANATENGENEZA VIULIZO LUKUKI- MCHAMBUZI Uchambuzi mpya wa kisiasa kutoka kwa Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini, Luqman Maloto Luqman Maloto, umeibua maswali mazito kuhusu dhamira na mbinu za kiuchambuzi zilizotumiwa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kufuatia hotuba yake iliyotolewa Julai 24, 2026, kwenye Mkutano Mkuu wa 15 wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC). Katika hotuba hiyo, Dkt. Nchimbi aliwataka Watanzania, hususan "kukomaa" na "kupambana" ili kupata Katiba Mpya kabla ya fursa iliyopo kumpoteza Rais Samia Suluhu Hassan ambaye kwa mujibu wa Nchimbi, ana utashi wa dhati wa kukamilisha mchakato huo. Hata hivyo, Maloto katika andiko lake lenye kichwa "kumwelewa nchimbi inatakiwa ung’amue alik...

Latest Posts

TANZANIA BEACH LOFEGUARDS YAADHIMISHA SIKU YA KUZUIA KUZAMA,YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI

JKT YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA BIDHAA ZA KILIMO NA UVUVI SABASABA,JAVINUNIA

TIRDO YAJA NA DAWA ASILI YA MIMEA YA KUCHAKATA NGOZI,HAUTUMII TENA KEMIKALI

MAAFISA VIPIMO WAWATEMBELEA WAJASIRIAMALI SABASABA NA KUWAPA ELIMU YA VIPIMO

KIDUME KILIVYOMPIGA SHERE SIMBA

WIZARA YA NISHATI YASISITIZA USHIRIKIANO KUFIKIA ASILIMIA 80 YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034

MPINA AIBUA MASWALI KUHUSU DENI LA TAIFA, BEI YA MAFUTA NA MISAMAHA YA KODI KATIKA BAJETI YA 2026/27

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA