Skip to main content

Posts

Featured

KUTEKWA KWA DJUMBE KWAIBUA MASWALI

 KUTEKWA KWA DJUMBE KWAIBUA MASWALI TUMUAMINI NANI KATI YA DJUMBE ANAYEDAI KUTEKWA AU MACHA ANAYEDAI ALIKUWA NAE  1. Macha anasema walipozuiwa na yale magari wakashuka watu takribani 6 wakawaambia sisi ni askari polisi na mpo chini ya ulinzi Wakati Daudi Djumbe anasema walishuka watu wengi kama watano au sita wakafungua mlango wake wakamshusha aliyekuwa naye wakambeba kwa nguvu nayeye akajua utekaji akaanza kupambana nao akipiga kelele watekaji watekaji watekaji 2. Macha anasema "wakati ule wanasema mpo chini ya ulinzi, Djumbe akauliza tuko chini ya ulinzi kwa kosa gani"?.  Wakati Djumbe yeye anasema walivyomshusha mwenzake alitupwa nyuma ya buti la ProBox na kufungwa pingu 3. Tujiulize sasa kwa tunaoifahamu ProBox, inawezekana kweli mtu kutupwa nyuma ya buti na wengine kwenda kumpiga huku akiwa amefungwa pingu?. 4. Djumbe anasema walipofika alipotoroka, alijirusha kutoka kwenye buti ya proBox hadi siti ya kati na kufungua mlango kisha kutoroka Swali, inawezekana vipi wat...

Latest Posts

Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla

SEHEMU YA KICHA CHA JAMES TEMBA YAPATIKANA,POLISI YAMTIA MBARONI MGANGA

UJIO WA KAGAME, RUTO AIBU KWA MAKUWADI WA KISIASA EA - MBETO

VIJANA ACT WAZALENDO WASHAURI KUPUNGUZWA KWA KODI ZA MAFUTA ILI KULETA UNAFUU WA MAISHA KWA WATANZANIA

NJOMBE YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

DKT. NEEMA MAJULE: MAJI YASIWE KWENYE MAKARATASI TENA, TUFANYE UTAFITI

DC KILWA AIPONGEZA TANESCO KWA KUJIPANGA KUFIKISHA UMEME KATIKA BANDARI YA UVUVI - KILWA.

BAADA YA RIPOTI YA JAJI CHANDE,ACT YAJA NA MAPENDEKEZO LUKUKI

KILIBA AWATAKA VIJANA KUTOTUMIWA NA WANAOTAKA KUIHARIBU TANZANIA.

MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026