Skip to main content

Posts

Featured

NJOMBE YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

  NJOMBE YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI Njombe - Mkoa wa Njombe umetangaza rasmi fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya madini baada ya kubainika kuwa na utajiri mkubwa wa rasilimali za madini ambazo bado hazijatumika ipasavyo, huku wawekezaji wa ndani na nje ya nchi wakialikwa kuwekeza katika utafiti, uchimbaji na uongezaji thamani wa madini hayo. Wito huo umetolewa na Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi Lucas Mlekwa, wakati akizungumza katika mahojiano maalum na Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma cha Tume ya Madini kinachoshiriki Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kinachoendelea mkoani humo. Mhandisi Mlekwa amesema tathmini za kitaalam zinaonesha kuwa wilaya za Njombe, Ludewa, Makete na Wanging’ombe zina utajiri mkubwa wa madini yenye thamani ya kiuchumi, licha ya mengi yake kutokuwa yameendelezwa kikamilifu.

Latest Posts

DKT. NEEMA MAJULE: MAJI YASIWE KWENYE MAKARATASI TENA, TUFANYE UTAFITI

DC KILWA AIPONGEZA TANESCO KWA KUJIPANGA KUFIKISHA UMEME KATIKA BANDARI YA UVUVI - KILWA.

BAADA YA RIPOTI YA JAJI CHANDE,ACT YAJA NA MAPENDEKEZO LUKUKI

KILIBA AWATAKA VIJANA KUTOTUMIWA NA WANAOTAKA KUIHARIBU TANZANIA.

MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026

SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI

VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA.

KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LAJA NA SWIFPACK,LAINGIA MKATABA NA MADEREVA DAR

TANZANIA NI NCHI TAJIRI WAZEE WETU WALITUACHIA RASILIMALI TUZITUMIE VIZURI:SHIGONGO