Skip to main content

Posts

Featured

MAONESHO YA ADORABLE WEDDING TRADE FAIR 2026 KUFANYIKA APRILI 17–19 EACLC UBUNGO

  MAONESHO YA ADORABLE WEDDING TRADE 2025 FAIR KUFANYIKA APRILI 17–19 EACLC UBUNGO Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Mkurugenzi Mtendaji wa Adorable Wedding Trade Fair, Anna Lema , ametangaza kufanyika kwa maonesho maalum ya biashara yanayowakutanisha watoa huduma mbalimbali za sherehe na harusi kuanzia Aprili 17 hadi 19 mwaka huu. Akizungumza kuhusu maandalizi ya tukio hilo, Anna amesema maonesho hayo yataleta pamoja watoa huduma wa sekta ya harusi ikiwemo waandaaji wa shela za harusi, watengenezaji wa keki, wabunifu wa mavazi ya harusi na huduma nyingine zinazohusiana na maandalizi ya sherehe. Amesema maonesho hayo yatafanyika katika soko la kimataifa la Afrika Mashariki EACLC lililopo Ubungo jijini Dar es salaam  Amesema katika maboresho ya mwaka huu, watoa huduma watatumia fremu za maduka zilizopo ndani ya jengo husika kama mabanda ya kuoneshea bidhaa na huduma zao, hatua ambayo imepunguza gharama za maandalizi ukilinganisha na awali ambapo walilazimika kukodisha mab...

Latest Posts

KAMISHNA MKUU TRA AAGIZA ICD KUFANYA KAZI SAA 24 KUONGEZA UFANISI

TRA yasisitiza umuhimu wa Waendeshaji wa Bandari kavu (ICDS) Kutokwepa Kodi

MAFUNDI NA WAUNDAJI VIPIMO NCHINI WAASWA KUENDANA NA TEKNOLOJIA

CUF YAPINGA MAAMUZI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,POLISI YAWAFUATA NA KUHIMIZA UTULIVU

SBL YAJA NA VIN NKOLOMBOKA,SULUHISHO LA WANAUME

Diwani Manyinya Azindua Kituo cha maegesho ya Bodaboda Kivule, Atoa Onyo Kali kwa 'wanaoichukulia poa' Kazi hiyo

SERIKALI YATENGA BILLIONI 13 KUWEZESHA UJENZI WA OFISI ZA TMA

BROTHERS ACADEMY 'KUMFUNDISHA' BABA LEVO MASOMO YA SEKONDARI,AJIUNGA NAO

PROF. SHEMDOE AKUTANA NA WAKUU WAPYA MIKOA YA KAGERA NA MTWARA KUJIPANGA KIUTENDAJI

MAKONDA: MAREKEBISHO UWANJA WA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA AFCON 2027 YANAENDELEA VIZURI