Skip to main content

Posts

Featured

TANZANIA BEACH LOFEGUARDS YAADHIMISHA SIKU YA KUZUIA KUZAMA,YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

  Na Mwandishi wetu Dar es salaam  Taasisi ya Tanzania beach lifeguard kwa kushirikiana na chama cha mchezo wa kuogelea nchini na wadau wengine wameadhimisha siku ya kuzuia uzamaji duniani huku ikijidhatiti katika utoaji elimu. Katika kuadhimisha siku hiyo inayoadhimishwa Leo Julai 25 duniani kote,taasisi hiyo imeendesha mafunzo kwa makundi mbalimbali wakiwemo wanafunzi  wenye ulemavu ili kuwajengea uwezo wa kujiokoa inapotokea wamezama majini. Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Mwandaaji wa maadhimisho hayo ambaye ni Mkurugenzi wa Tanzania beach lifeguard Bi Amina Mfaume amesema maadhimisho hayo yenye kauli mbinu isemayo "mtu yoyote anaweza kuzama lakini mtu asizame" inayoashiria umuhimu wa kujiokoa na kuokoa majini. "kwa mwaka huu tumeamua kuwapa mafunzo watoto wenye mahitaji maalum kwani tunaamini wao ndio wapo kwenye risk kubwa sana kutokana na majanga ya maji ndo maana Leo tunawapa mafunzo hapa juu ya namna ya kuogelea na kujiokoa" amesema....

Latest Posts

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI

JKT YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA BIDHAA ZA KILIMO NA UVUVI SABASABA,JAVINUNIA

TIRDO YAJA NA DAWA ASILI YA MIMEA YA KUCHAKATA NGOZI,HAUTUMII TENA KEMIKALI

MAAFISA VIPIMO WAWATEMBELEA WAJASIRIAMALI SABASABA NA KUWAPA ELIMU YA VIPIMO

KIDUME KILIVYOMPIGA SHERE SIMBA

WIZARA YA NISHATI YASISITIZA USHIRIKIANO KUFIKIA ASILIMIA 80 YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034

MPINA AIBUA MASWALI KUHUSU DENI LA TAIFA, BEI YA MAFUTA NA MISAMAHA YA KODI KATIKA BAJETI YA 2026/27

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

WATANZANIA WATAKIWA KUWAKATAA WANAHARAKATI WALIOCHOCHEA VURUGU OKTOBA 29,WALILIPWA NA MABEBERU