Skip to main content

Posts

Featured

WANAWAKE WAPEWE NGUVU KUPITIA SANAA YA SARAKASI,WAONESHA UWEZO WAO

  WANAWAKE WAPEWE NGUVU KUPITIA SANAA YA SARAKASI,WAONESHA UWEZO WAO DAR ES SALAAM, Mtandao wa Wasanii Wanawake nchini kwa kushirikiana na Chama cha Sarakasi Tanzania (TSA) pamoja na Makumbusho ya Taifa, umeendesha mradi wa kuwawezesha wasichana na wanawake kushiriki katika sanaa ya sarakasi na kupata fursa za kuonyesha vipaji vyao. Mradi huo umejumuisha mafunzo na maonyesho yaliyofanyika kupitia programu ya Museum Art Explosion (MAE) katika Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam, ukiwa na lengo la kuongeza ushiriki wa wanawake katika sekta ya sanaa. Wakizungumza katika maonyesho hayo, waandaaji wamesema mradi huo unalenga kuhakikisha wanawake na watoto wa kike wanapata nafasi ya kushiriki katika sanaa, uongozi na shughuli mbalimbali za kisanaa kwa usawa. Dkt. Aloyce Mwambwiga, mhifadhi kiongozi  wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam, amesema taasisi hiyo imeendelea kutoa jukwaa kwa wasanii na wabunifu kutumia kumbi zake ku...

Latest Posts

Msajili wa Hazina aitaka TANROADS kuongeza ufanisi

MADEREVA WMA WASHIRIKI KONGAMANO LA CHAMA CHAO KITAIFA

CHUO CHA DMI CHASISITIZA UWEKEZAJI MKUBWA ELIMU, TEKNOLOJIA:UCHUMI WA BULUU

OTR kuongeza kasi ya mageuzi ili kukuza tija ya uwekezaji

WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

TUZO NNE ZANYAKUWA NA KAMPUNI YA HANSPAUL GROUP,USIKU WA PMYA 2026

SERIKALI YATOA MAELEKEZO 13 KUKABILIANA NA EL-NINO

AFISA UGAVI WMA AHAMASISHA UHAKIKI VIFAA VYA VIPIMO BAADA YA UNUNUZI

KATAMBI AWASAMEHE WASANII 21, NIFFER, NOEL NA ANKO T WAITWA TENA