Skip to main content

Posts

Featured

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA VULI OKTOBA–DESEMBA 2026, EL NIÑO YATAJWA KUCHANGIA MVUA KUBWA

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA VULI OKTOBA–DESEMBA 2026, EL NIÑO YATAJWA KUCHANGIA MVUA KUBWA Aug Na mwandishi wetu,Dar es El  Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za msimu wa Vuli za Oktoba hadi Desemba 2026 zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani katika maeneo mbalimbali nchini, huku uwepo wa hali ya El Niño ukitajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazoweza kuchangia vipindi vya mvua kubwa katika baadhi ya maeneo. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam wakati akitoa mwelekeo wa mvua hizo, Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Ladislaus Chang’a, amesema mvua hizo zinatarajiwa kuanza katika wiki ya kwanza na ya pili ya Oktoba katika baadhi ya maeneo. Amesema katika mikoa ya Arusha na Manyara, mvua zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani, huku hali kama hiyo ikitarajiwa pia katika ukanda wa Kaskazini unaojumuisha Tanga, Dar es Salaam, kaskazini mwa Morogoro pamoja na visiwa vya Mafia na Pemba. TMA imesema uwepo wa El Niño unaweza kuchangia kuongezeka k...

Latest Posts

WAZIRI KAIRUKI:- UBORA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAONGEZEKA, UTAPELI WAPUNGUA

WMA YAWAFUNDISHA WATOTO VIPIMO: NAIBU WAZIRI MALIASILI APONGEZA

WAKALA WA VIPIMO WAELEZA TIBA YA GESI PUNGUFU

TANZANIA BEACH LOFEGUARDS YAADHIMISHA SIKU YA KUZUIA KUZAMA,YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

JAJI MSHIBE ASISITIZA MAANDALIZI YA KISEKTA KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI

JKT YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA BIDHAA ZA KILIMO NA UVUVI SABASABA,JAVINUNIA

TIRDO YAJA NA DAWA ASILI YA MIMEA YA KUCHAKATA NGOZI,HAUTUMII TENA KEMIKALI

MAAFISA VIPIMO WAWATEMBELEA WAJASIRIAMALI SABASABA NA KUWAPA ELIMU YA VIPIMO

KIDUME KILIVYOMPIGA SHERE SIMBA