Skip to main content

Posts

Featured

BAADA YA RIPOTI YA JAJI CHANDE,ACT YAJA NA MAPENDEKEZO LUKUKI

  Na Mwandishi wetu. Chama Cha Act Wazalendo kimeendelea na msimamo wake wa kutoitambua Tume ya kuchunguza matukio wakati na baada ya uchaguzi Oktoba,2025 iliyoundwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan chini ya Mwenyekiti wake Jaji Mohamed Chande Othman kwa madai kuwa tume hiyo imewasilisha ripoti ambayo inawalinda wahusika wa mauaji. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo Mei 4,2026 Makao makuu ya chama hicho Magomeni Jijini Dar es salaam,Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho Isihaka Mchinjita amesema kuwa tume imetoa ripoti ambayo haina takwimu sahihi za watu waliouawa. Pia amesema kuwa ripoti hiyo haijataja hatua zitakazochukuliwa dhidi ya watu waliohusika na mauaji,huku chama hicho kikidai kuwepo kwa tume huru ya umoja wa mataifa itakayotumika kufanya uchunguzi huo kwani Tanzania ni mwanachama wa jumuiya hiyo. Halikadhalika Mchinjita ameongeza kuwa viongozi walioshindwa kudhibiti mauaji hayo wachukuliwe hatua ikiwemo kufukuzwa kazi kutokana na uzembe walioufanya wa kushindwa...

Latest Posts

KILIBA AWATAKA VIJANA KUTOTUMIWA NA WANAOTAKA KUIHARIBU TANZANIA.

MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026

SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI

VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA.

KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LAJA NA SWIFPACK,LAINGIA MKATABA NA MADEREVA DAR

TANZANIA NI NCHI TAJIRI WAZEE WETU WALITUACHIA RASILIMALI TUZITUMIE VIZURI:SHIGONGO

FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA

MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA

WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI*