Skip to main content

Posts

Featured

SBL YAJA NA VIN NKOLOMBOKA,SULUHISHO LA WANAUME

Kinywaji kipya cha Vin Nkolamboka kimezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam katika hafla iliyohusisha wadau mbalimbali wa biashara, sekta ya vinywaji pamoja na wageni waalikwa. Uzinduzi huo umefanyika kwa lengo la kukitambulisha kinywaji hicho katika soko la Tanzania na kutoa chaguo jipya kwa watumiaji wa vinywaji vyenye kilevi. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Meneja Mkuu wa kinywaji hicho, Domivic Salamba, amesema kuwa Vin Nkolamboka ni bidhaa mpya iliyobuniwa kwa kuzingatia mahitaji ya soko la ndani na ladha ya Watanzania. Amesema kampuni yao imewekeza katika ubora wa bidhaa hiyo ili kuhakikisha inakidhi viwango vya kitaifa na kimataifa. Salamba ameeleza kuwa kinywaji hicho kina kiwango cha kilevi cha asilimia 16, hivyo kimeidhinishwa kutumiwa na watu wenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi. Amesisitiza umuhimu wa matumizi ya kinywaji hicho kwa uwajibikaji ili kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na matumizi kupita kiasi. Ameongeza ku...

Latest Posts

Diwani Manyinya Azindua Kituo cha maegesho ya Bodaboda Kivule, Atoa Onyo Kali kwa 'wanaoichukulia poa' Kazi hiyo

SERIKALI YATENGA BILLIONI 13 KUWEZESHA UJENZI WA OFISI ZA TMA

BROTHERS ACADEMY 'KUMFUNDISHA' BABA LEVO MASOMO YA SEKONDARI,AJIUNGA NAO

PROF. SHEMDOE AKUTANA NA WAKUU WAPYA MIKOA YA KAGERA NA MTWARA KUJIPANGA KIUTENDAJI

MAKONDA: MAREKEBISHO UWANJA WA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA AFCON 2027 YANAENDELEA VIZURI

KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI HIFADHI YA TAIFA NYERERE

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Tonali kuziba pengo la Casemiro Man United?

Singida Black Stars Watupwa Nje ya CAFCC Baada ya Kifungwa 1-0 na CR Belouizdad

JE ?YANGA WANA MATUMAINI YAKUTOSHA KIMATAIFA?

RAIS DKT SAMIA KUZINDUA SOKO LA KARIAKOO JUMAPILI HII