Skip to main content

Posts

Featured

MCHANGE AILIPUA CHADEMA/ AWATAKA WAACHE KUPOTOSHA

  MCHANGE AILIPUA CHADEMA/ AWATAKA WAACHE KUPOTOSHA Habibu Mchange ameibuka na madai mazito dhidi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwatuhumu kuhusika katika vitendo vya utekaji, mateso na mauaji ya vijana wasio na hatia pamoja na kupanga matukio mbalimbali ya kisiasa tangu mwaka 2011 kwa lengo la kuipotosha jamii na kuichafua taswira ya Serikali.  Kwa mujibu wa Mchange, matukio hayo yanajumuisha vurugu za Arusha, tukio la Morogoro alikofariki mwanahabari Arizona, kifo cha Daud Mwangosi Iringa, madai ya kutekwa na kuteswa kwa Yona Temeke, shambulio la tindikali dhidi ya Musa Tesha, pamoja na madai ya kuteswa kwa Mkurugenzi wa Jambo Media Group Bagamoyo. Aidha, Mchange ametoa tuhuma za ulaji wa michango ya umma akidai kuwa viongozi wa Chadema wakiongozwa na John Heche waliinisha michango kwa ajili ya Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, ambapo shilingi milioni 41 zilipatikana lakini kwa umma ikatangazwa milioni 26 pekee.  Amesema shilingi mil...

Latest Posts

HUU HAPA UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO NCHINI TANZANIA KUANZIA SAA 3 USIKU WA LEO

Serikali kununua matrekta 10000-Dk. Mwigulu

MBETO AWAONYA WAZANZIBAR KUNUNUA NYUMBA , KIWANJA HOLELA

WMA YAFUNGA MTAMBO WA KISASA UNAOHAKIKI DIRA ZA MAJI DODOMA*

DUNIA,MEMBE NA WENGINE WANNE WAHUKUMIWA VIFUNGO HIVI KWA MAKOSA YA UBAKAJI NA ULAWITI DAR

DIWANI NYANTORI AELEZA MAKUBWA YALIYOFANYWA KATA YA MBEZI,AMSHUKURU RAIS DKT SAMIA

RAIS DKT SAMIA AZIKUBALI JITIHADA ZA TMA AMTEUA DKT LADISLAUS CHANG'A KUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA HIYO

Diwani Sanga Aongoza Zoezi la Upandaji Miti Zahanati Mpya Saranga, Aeleza Mafanikio ya Siku 100 za Rais Samia

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATAKA BARAZA LA USHINDANI KUIMARISHA ELIMU KWA UMMA

Diwani Kigogo: Ndani ya Siku 100 za Rais Samia, Miradi ya Afya, Elimu na Miundombinu Yaendelea Kutekelezwa kwa Kasi