Skip to main content

Posts

Featured

TANZANIA NI NCHI TAJIRI WAZEE WETU WALITUACHIA RASILIMALI TUZITUMIE VIZURI:SHIGONGO

  Mbunge wa Jimbo la Buchosa,Mkoani Mwanza Erick Shigongo amesema rasilimali zilizopo kwa sasa nchini ni matokeo ya viongozi walikuwepo awali ambao walizitunza ili vizazi vilivyopo na vijavyo vije kunufaika. Shigongo ameyasema hayo hii Leo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari kando ya mkutano wa uzinduzi wa jukwaa la uzinduzi wa vijana  lililoandaliwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam. Amesema Tanzania ni nchi tajiri mno na atalizungumza hilo mara nyingi na Kila siku hatoacha kusifu utajiri wa rasilimali zilizopo nchini. "wazee wetu Hawa walijua kuwa chini ya ardhi Kuna uranium,tena wakiwa vijana wakati ule walijua pia chini Kuna almasi,tanzanite,dhahabau na gesi na wakajua chini Kuna utajiri mkubwa ila baada ya uhuru lakini wakasema hatutautumia utajiri huu sisi watakuja wautumie watoto wetu" amesema Shigongo. Ameongeza kuwa Kazi ya viongozi wa wakati huo Ilikuwa ni moja tu kumuondoa mkoloni na walipofanikiwa kumuondoa nao wakafanya Kazi kwa muda na wali...

Latest Posts

FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA

MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA

WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI*

D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI

Fainali za Kabwili Cup 2026 Kutikisa Dar , Bingwa Kuzawadiwa Gari Alhamis hii

NSSF YAJIVUNIA UWEKEZAJI KUPITIA MRADI WA MZIZIMA TOWERS NA FURSA MPYA ZA BIASHARA NA UTALII DAR

MKUTANO WA TANZANIA NA UGANDA KUIMARISHA USHIRIKIANO WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

MAJALIWA AFUTURISHA WAUMINI MBALIMBALI WA DINI YA KIISLAM KATIKA IFTAR MAALUM DAR ES SALAAM

JAFO AWATAKA WAISLAMU KUWATHAMINI WALIMU WA MADRASA,AWAPA MOTISHA

MCHANGO WA WMA KUWEZESHA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE WATAMBULIWA