Skip to main content

Posts

Featured

RAIS SAMIA KUZINDUA MATANKO 15 YA MAFUTA DAR KESHO, WANANCHI WAITWA

  RAIS SAMIA KUZINDUA MATANKO 15 YA MAFUTA DAR KESHO, WANANCHI WAITWA  Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam  Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Prof. Makame Mnyaa Mbarawa, amesema kuwa Machi 3, 2026, katika Bandari ya Dar es Salaam, kutafanyika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa matenki 15 ya kuhifadhia mafuta. Hafla hiyo ni sehemu ya mpango mpana wa Serikali wa kupanua na kuboresha bandari hiyo kama lango kuu la biashara nchini. Akizungumza leo Machi 2, 2026, Mbarawa amesema mgeni rasmi katika tukio hilo anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia  Suluhu Hassan, ambaye ataongoza hafla hiyo muhimu kwa maendeleo ya sekta ya uchukuzi na uchumi wa taifa. Hata hivyo Prof. Mbarawa ameeleza kuwa ujenzi wa matenki hayo utaongeza uwezo wa taifa katika kuhifadhi mafuta na kuboresha mnyororo wa usambazaji wa nishati, hatua itakayochochea biashara za ndani na za kimataifa kupitia bandari hiyo. “Mradi huu unaonesha dhamira ya dhati ya Serikali ya...

Latest Posts

RC CHALAMILA AINGIA VITANI NA WAPORAJI ARDHI NA UTAPELI WA AINA DAR,AWATANGAZIA KIAMA

DAR CITY TEAM PEKEE TANZANIA KUNDI MOJA NA VIGOGO AFRIKA

ACT WAZALENDO KUTOADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI,KUJA NA HILI

JIJI LA DAR ES SALAAM LAJIVINIA KUTEKELEZA ZAIDI YA ASILIMIA 89 YA MIRADI YA MAENDELEO, BILIONI 1 YAWEKEZWA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA

Mashindano ya Qur’an Yaliyoandaliwa na Aisha Sururu Foundation Yafana Jijini Dar es Salaam

MAONESHO YA ADORABLE WEDDING TRADE FAIR 2026 KUFANYIKA APRILI 17–19 EACLC UBUNGO

KAMISHNA MKUU TRA AAGIZA ICD KUFANYA KAZI SAA 24 KUONGEZA UFANISI