Skip to main content

Posts

Featured

Kampuni ya GF Trucks & Equipment LTD Kudhamini Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Singida Black Stars

  Kampuni ya GF Trucks & Equipment LTD  Kudhamini Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi Singida Black Stars Na Thadei PrayGod  Dar es Salaam, Februari 13, 2026  – Kampuni ya GF Trucks & Equipment LTD imeingia makubaliano rasmi ya kudhamini tuzo ya  Mchezaji Bora wa Mwezi (Player of the Month)  kwa klabu ya Singida Black Stars FC, katika hatua inayolenga kukuza na kuendeleza sekta ya michezo nchini. Akizungumza katika hafla ya utilianaji Saini wa makubaliano hayo  iliyofanyika makao makuu ya kampuni hiyo yaliyoko Vingunguti Jijini Dar es salaam,Mkurugenzi wa Masoko na Biashara wa kampuni hiyo, Bw. Salman Karmali, alisema udhamini huo ni sehemu ya mchango wa kampuni katika kusaidia maendeleo ya michezo sambamba na shughuli zake za biashara. Alieleza kuwa kampuni hiyo imekuwepo kwa miaka 19 na imekuwa mdau mkubwa katika sekta ya malori na mitambo nchini Tanzania, huku pia ikishiriki katika shughuli za kijamii (CSR) ikiwemo michezo, afya na miundombinu. “...

Latest Posts

SERIKALI YATENGA BILLIONI 13 KUWEZESHA UJENZI WA OFISI ZA TMA

BROTHERS ACADEMY 'KUMFUNDISHA' BABA LEVO MASOMO YA SEKONDARI,AJIUNGA NAO

PROF. SHEMDOE AKUTANA NA WAKUU WAPYA MIKOA YA KAGERA NA MTWARA KUJIPANGA KIUTENDAJI

MAKONDA: MAREKEBISHO UWANJA WA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA AFCON 2027 YANAENDELEA VIZURI

KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI HIFADHI YA TAIFA NYERERE

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Tonali kuziba pengo la Casemiro Man United?

Singida Black Stars Watupwa Nje ya CAFCC Baada ya Kifungwa 1-0 na CR Belouizdad

JE ?YANGA WANA MATUMAINI YAKUTOSHA KIMATAIFA?

RAIS DKT SAMIA KUZINDUA SOKO LA KARIAKOO JUMAPILI HII

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA MASIKA NCHINI,YATOA TAHADHARI HIZI