Skip to main content

Posts

Featured

KAMPUNI YA ZERA YAZINDUA MAGARI YANAYOTUMIA UMEME, UKICHAJI UNATEMBEA KM 300

  KAMPUNI YA ZERA YAZINDUA MAGARI YANAYOTUMIA UMEME, UKICHAJI UNATEMBEA KM 300 Kampuni ya ZERA imezindua magari yake mapya aina ya ZERA ZMEV ambayo yanatumia nishati ya umeme. Akizungumza katika uzinduzi wa magari hayo, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia nishati, Mhandisi Felichism Mramba, amempongeza ujio wa magari hayo ya umeme kwa sasa kwa kiwango kikubwa na kusema kuwa utaleta mapinduzi katika eneo la huduma za usafirishaji hapa nchini. Mhandisi Mramba amesema kwa makadirio kwa sasa nchini kuna magari zaidi ya elfu 5 yanayotumia nishati ya umeme, hivyo ujio wa magari ya ZERA si tu utasaidia sekta ya usafirishaji bali pia itakuza vipato vya Watanzania. Amesema gharama za kuendesha chombo hicho cha umeme kunapunguza gharama kwa zaidi ya asilimia 85. "Gari hizi ambazo zinaweza kutembea kilomota 300 baada ya kuchaji ni hatua kubwa ya mafanikio na itaboresha mazingira kwani magari hayo hayatoi moshi," alisema. Amesema vyombo vinavyotumia nishati ya umeme ni m...

Latest Posts

WANAWAKE WA TANESCO WANG’ARA KATIKA KONGAMANO LA NISHATI SAFI DAR ES SALAAM

ACT Wazalendo wazindua mnara wa kumbukizi ya waliopoteza maisha Oktoba 29 kuelekea siku ya Wanawake ulimwenguni

RAIS DKT.MWINYI:MASHINDANO YA QURAAN YANAIWEKA TANZANIA KWENYE RAMANI YA KIMATAIFA

RAIS SAMIA KUZINDUA MATANKO 15 YA MAFUTA DAR KESHO, WANANCHI WAITWA

RC CHALAMILA AINGIA VITANI NA WAPORAJI ARDHI NA UTAPELI WA AINA DAR,AWATANGAZIA KIAMA

DAR CITY TEAM PEKEE TANZANIA KUNDI MOJA NA VIGOGO AFRIKA

ACT WAZALENDO KUTOADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI,KUJA NA HILI

JIJI LA DAR ES SALAAM LAJIVINIA KUTEKELEZA ZAIDI YA ASILIMIA 89 YA MIRADI YA MAENDELEO, BILIONI 1 YAWEKEZWA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA

Mashindano ya Qur’an Yaliyoandaliwa na Aisha Sururu Foundation Yafana Jijini Dar es Salaam