Skip to main content

Posts

Featured

CHUO CHA DMTA KUANZA KUTOA MAFUNZO YA UBAHARIA CHAFUNGUA DIRISHA LA UDAHILI

 CHUO CHA DMTA KUANZA KUTOA MAFUNZO YA UBAHARIA  CHAFUNGUA DIRISHA LA UDAHILI  Dar es salaam -Chuo binafsi cha Dar es salaam Maritime Training Academy  (DMTA) kimetangaza kuanza kutoa mafunzo katika fani za bahari (ubaharia)kuanzia Mwezi April 2026, hapa nchini. Hata hivyo chuo hicho kimeelezwa kuwa sehemu muhimu katika kuandaa rasilimali watu wenye ujuzi katika sekta ya uchumi wa buluu, kwa kuwapa vijana mafunzo ya ubaharia yatakayowawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za kimataifa za usafirishaji wa mizigo kupitia bahari. Akizungumza kuhusu mchango wa chuo hicho,Kapteni Ken Michael Chimwejo amesema sekta ya bahari ina nafasi kubwa katika uchumi wa dunia, akibainisha kuwa takribani asilimia 90 ya mizigo yote duniani husafirishwa kupitia maji au bahari, hali inayofanya sekta hiyo kuhitaji wataalamu wengi wenye ujuzi wa ubaharia. Amesema kwa sasa kuna nchi kadhaa zinazoongoza duniani kwa kuwa na idadi kubwa ya mabaharia, zikiwemo Ufilipino, Urusi, Indonesia, ...

Latest Posts

JAFO AWATAKA WAISLAMU KUWATHAMINI WALIMU WA MADRASA,AWAPA MOTISHA

MCHANGO WA WMA KUWEZESHA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE WATAMBULIWA

KAMPUNI YA ZERA YAZINDUA MAGARI YANAYOTUMIA UMEME, UKICHAJI UNATEMBEA KM 300

WANAWAKE WA TANESCO WANG’ARA KATIKA KONGAMANO LA NISHATI SAFI DAR ES SALAAM

ACT Wazalendo wazindua mnara wa kumbukizi ya waliopoteza maisha Oktoba 29 kuelekea siku ya Wanawake ulimwenguni

RAIS DKT.MWINYI:MASHINDANO YA QURAAN YANAIWEKA TANZANIA KWENYE RAMANI YA KIMATAIFA

RAIS SAMIA KUZINDUA MATANKO 15 YA MAFUTA DAR KESHO, WANANCHI WAITWA

RC CHALAMILA AINGIA VITANI NA WAPORAJI ARDHI NA UTAPELI WA AINA DAR,AWATANGAZIA KIAMA

DAR CITY TEAM PEKEE TANZANIA KUNDI MOJA NA VIGOGO AFRIKA

ACT WAZALENDO KUTOADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI,KUJA NA HILI