Skip to main content

Posts

Featured

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI

 MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC), Samuel A. Mshote, amesema matumizi ya mbolea nchini yameendelea kuongezeka na kuchangia kupungua kwa changamoto kwa wakulima pamoja na kuimarika kwa usalama wa chakula nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), Julai 5, 2026, Mshote alisema hali ya uzalishaji wa chakula imeendelea kuimarika, ambapo kwa sasa Tanzania inajitosheleza kwa chakula kwa zaidi ya asilimia 124, na mafanikio hayo yanatokana na juhudi za Serikali katika kuhakikisha matumizi ya mbolea yanaongezeka nchini, hali iliyosaidia kuongeza tija katika sekta ya kilimo. Mshote alisema matumizi ya mbolea yameongezeka kutoka takribani tani 360,000 kwa miaka mitatu iliyopita hadi zaidi ya tani milioni 1.2 kwa mwaka kwa mbolea aina mbalimbali zinazotumika na wakulima nchini, elimu kuhusu matumizi ya mbolea kwa wakul...

Latest Posts

JKT YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA BIDHAA ZA KILIMO NA UVUVI SABASABA,JAVINUNIA

TIRDO YAJA NA DAWA ASILI YA MIMEA YA KUCHAKATA NGOZI,HAUTUMII TENA KEMIKALI

MAAFISA VIPIMO WAWATEMBELEA WAJASIRIAMALI SABASABA NA KUWAPA ELIMU YA VIPIMO

KIDUME KILIVYOMPIGA SHERE SIMBA

WIZARA YA NISHATI YASISITIZA USHIRIKIANO KUFIKIA ASILIMIA 80 YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034

MPINA AIBUA MASWALI KUHUSU DENI LA TAIFA, BEI YA MAFUTA NA MISAMAHA YA KODI KATIKA BAJETI YA 2026/27

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

WATANZANIA WATAKIWA KUWAKATAA WANAHARAKATI WALIOCHOCHEA VURUGU OKTOBA 29,WALILIPWA NA MABEBERU

JAJI MWAMBEGELE AWAPA NENO MAKARANI WA UCHAGUZI ISIMANI