Skip to main content

Posts

Featured

WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA

 WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA  *Na WMA - MWANZA*  Meneja wa Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Geita, Bi. Eva Ikula amesema usimamizi wa matumizi sahihi ya vipimo unaofanywa na WMA umewezesha bidhaa za Tanzania kuaminiwa na kukubalika zaidi katika soko la kimataifa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 31, 2026 katika banda la WMA wakati wa Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayoendelea katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, Bi. Ikula amesema mojawapo  ya sababu kubwa ya bidhaa za Tanzania kukubalika katika soko la kimataifa ni uhakika wa vipimo. "Kilo yetu ni kilo ya Kenya, ya India, na ya Ujerumani pia. Hiyo ndiyo nguvu ya matumizi ya vipimo sahihi." Amesema WMA inaendelea kutoa elimu kupitia kampeni mbalimbali ili kujenga uelewa kuwa "Kipimo sahihi ni pasipoti ya bidhaa yako kuingia soko lolote duniani." Amebainisha kuwa wanunuzi wa kimataifa wanaiamini Tanzania kwa sababu WMA  inatumia mfumo mmoja wa kimataifa wa v...

Latest Posts

WATU 11 MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MIUNDOMBINU YA TTCL

WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO KWENYE VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA

KONGAMANO LA NNE LA KIMATAIFA LA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE HAI LAFUNGULIWA DAR

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA VULI OKTOBA–DESEMBA 2026, EL NIÑO YATAJWA KUCHANGIA MVUA KUBWA

WAZIRI KAIRUKI:- UBORA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAONGEZEKA, UTAPELI WAPUNGUA

WMA YAWAFUNDISHA WATOTO VIPIMO: NAIBU WAZIRI MALIASILI APONGEZA

WAKALA WA VIPIMO WAELEZA TIBA YA GESI PUNGUFU

TANZANIA BEACH LOFEGUARDS YAADHIMISHA SIKU YA KUZUIA KUZAMA,YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

JAJI MSHIBE ASISITIZA MAANDALIZI YA KISEKTA KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI