FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA
FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA Na Mwandishi Wetu. Katika kukuza uwekezaji ambao inafanyika ndani ya nchi ,Kampuni ya Fortune Paper Group kupitia kiwanda chake cha Fortune Paper Factory Kibaha kinachomilikiwa na raia wa China,ambayo imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 154 nchini Tanzania tangu mwaka 2022 kimesema kunahitajika sera madhubiti kulinda wazalishaji wa ndani Kampuni hiyo imeshauri kuwepo wa sera kutoka serikalini ili kulinda biashara yake ya uzalishaji inayotegemea urejelezaji dhidi ya kile inachokiita ushindani usio wa haki kutoka kwa bidhaa za bei nafuu zinazoagizwa kutoka nje. Katika mahojiano maalum yaliyofanyika pembeni ya maonesho ya Siku ya Kimataifa ya Zero Waste yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja,kampuni hiyo imesema inapanga kupanua uzalishaji na kuimarisha uwekezaji wake wa muda mrefu nchini Tanzania,ambao kwa sasa inaajiri zaidi ya wafanyakazi 150 waza...




.jpeg)




