Skip to main content

Posts

Featured

MADEREVA WMA WASHIRIKI KONGAMANO LA CHAMA CHAO KITAIFA

 MADEREVA WMA WASHIRIKI  KONGAMANO LA CHAMA CHAO KITAIFA 🔶 WAAHIDI UTENDAJI MAHIRI ZAIDI *Na WMA  - DODOMA.*  Baadhi ya madereva kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) wanashiriki Kongamano la Tano la Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (MST-TGDU) linaloendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma. Kongamano hilo la kitaifa lililoanza Septemba 12 limewakutanisha mamia ya madereva wa Serikali kutoka mikoa yote nchini, ambapo pamoja na mambo mengine wanajadili mustakabali wa taaluma yao, changamoto wanazokutana nazo barabarani na namna ya kuimarisha nidhamu na weledi kazini. Kwa mujibu wa waandaaji, kongamano hili ni zaidi ya mkutano wa kawaida; ni darasa huru la kubadilishana uzoefu, kujifunza mbinu mpya za uendeshaji salama, matunzo ya vyombo vya moto vya Serikali na umuhimu wa uwajibikaji katika kulinda mali za umma. Akizungumza kwa niaba ya madereva wa WMA, Dereva Mkuu kutoka WMA Mkoa wa Dodoma, Bw. John Jumbe amesema ushiriki wao umewapa fursa ya ...

Latest Posts

CHUO CHA DMI CHASISITIZA UWEKEZAJI MKUBWA ELIMU, TEKNOLOJIA:UCHUMI WA BULUU

OTR kuongeza kasi ya mageuzi ili kukuza tija ya uwekezaji

WMA MSHINDI WA KWANZA MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

TUZO NNE ZANYAKUWA NA KAMPUNI YA HANSPAUL GROUP,USIKU WA PMYA 2026

SERIKALI YATOA MAELEKEZO 13 KUKABILIANA NA EL-NINO

AFISA UGAVI WMA AHAMASISHA UHAKIKI VIFAA VYA VIPIMO BAADA YA UNUNUZI

KATAMBI AWASAMEHE WASANII 21, NIFFER, NOEL NA ANKO T WAITWA TENA

WMA: KILO NA LITA YA TANZANIA NI KILO NA LITA YA DUNIA

WATU 11 MBARONI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MIUNDOMBINU YA TTCL

WMA WAKAGUA USAHIHI WA VIPIMO KWENYE VIWANDA VYA MABATI MKOANI MWANZA