VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA.
VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA. Chama cha ACT wazalendo kupitia mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chama hicho Taifa,Abdul Nondo kimeeleza kusikitishwa na kiasi cha shilingi Bilioni 28 ambazo zimetengwa kwa ajili ya Chai na mambo mengineyo huku Bilioni. 4 Pekee. Zikiwa ni kwa ajili Mikopo kwa Vijana. Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalengo, ameyasema hayo mbele ya waandishi wa habari wakati akichambua bajeti ya Maendeleo ya Vijana, iliyosomwa jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Maendeleo ya Vijana, Mheshimiwa Joel Nanauka, Bungeni








.jpeg)
