Skip to main content

Posts

Featured

KONGAMANO LA NNE LA KIMATAIFA LA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE HAI LAFUNGULIWA DAR

KONGAMANO LA NNE LA KIMATAIFA LA UVUVI NA UKUZAJI VIUMBE HAI LAFUNGULIWA DAR Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. BashirAlly Kakurwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Uvuvi Tanzania (TAFIRI) Dkt. Isamel Kimirei  Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. BashirAlly Kakurwa, leo Agosti 24, 2026 amefungua Kongamano la Nne la Uvuvi na Ukuzaji Viumbemaji (4tFAR4ViBE) linalowakutanisha Wanasayansi, watafiti na wadau wa uvuvi na wakuzaji viumbe maji na wataalam wa vyuo vikuu kutoka katika Nchi 17 ikiwemo mwenyeji Tanzania kujadili kuhusu maendeleo endelevu ya sekta ya uvuvi na ukuzaji viumbe maji na kuweka wazi kiwa sekta ya uvuvi zinahitaji sayansi na tafiti ili kuwanufaisha wavuvi. Kongamano hilo linalofanyika kwa siku tatu katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere International Convetion Center (JNICC) Mhe. Balozi Dkt. Bashiru amewasisitiza wataalam hao kutumia kongamano hilo kujadili kwa kina jinsi ya kutumia sayansi na tafiti kwa ajili ya uvuvi endelevu na ukuza...

Latest Posts

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA VULI OKTOBA–DESEMBA 2026, EL NIÑO YATAJWA KUCHANGIA MVUA KUBWA

WAZIRI KAIRUKI:- UBORA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO WAONGEZEKA, UTAPELI WAPUNGUA

WMA YAWAFUNDISHA WATOTO VIPIMO: NAIBU WAZIRI MALIASILI APONGEZA

WAKALA WA VIPIMO WAELEZA TIBA YA GESI PUNGUFU

TANZANIA BEACH LOFEGUARDS YAADHIMISHA SIKU YA KUZUIA KUZAMA,YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

JAJI MSHIBE ASISITIZA MAANDALIZI YA KISEKTA KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

MATUMIZI YA MBOLEA YATAJWA NA TFC KAMA CHACHU YA UPATIKANAJI WA CHAKULA NCHINI

JKT YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA BIDHAA ZA KILIMO NA UVUVI SABASABA,JAVINUNIA

TIRDO YAJA NA DAWA ASILI YA MIMEA YA KUCHAKATA NGOZI,HAUTUMII TENA KEMIKALI

MAAFISA VIPIMO WAWATEMBELEA WAJASIRIAMALI SABASABA NA KUWAPA ELIMU YA VIPIMO