Skip to main content

Posts

Featured

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA MASIKA NCHINI,YATOA TAHADHARI HIZI

  TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA MASIKA NCHINI,YATOA TAHADHARI HIZI Mamlaka ya Hali ya Hewa hapa nchini (TMA) imetoa rasmi utabiri wa msimu wa mvua za Masika 2026 kwa maeneo yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka kwa kipindi Cha Mwezi Machi Hadi Mei 2026 huku mamlaka hiyo ikitoa tahadhari katika sekta mbalimbali.  Akitangaza msimu wa mvua hizo mbele ya waandishi kutoka  vyombo mbalimbali vya habari nchini,leo Februari 5,2026, Mkurugenzi Mkuu wa TMA na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi Dkt. Ladislaus Chan’ga alisema maeneo mengi ya nchi yanayopata misimu miwili ya mvua yanatarajiwa kupata mvua za wastani hadi juu ya wastani.  “Mvua za Wastani hadi Juu ya Wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya nchi ikihusisha Pwani ya Kaskazini pamoja na baadhi ya maeneo ya Magharibi mwa ukanda wa Ziwa Viktoria (mikoa ya Kagera na Geita) pamoja na kaskazini mwa mkoa wa Kigoma, isipokuwa maeneo ya Nyanda za Juu Kaskazini M...

Latest Posts

MARUFUKU MICHANGO HOLELA KWENYE SHULE ZA KATA YANGU: DIWANI MUSHI

MCHANGE AILIPUA CHADEMA/ AWATAKA WAACHE KUPOTOSHA

HUU HAPA UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO NCHINI TANZANIA KUANZIA SAA 3 USIKU WA LEO

Serikali kununua matrekta 10000-Dk. Mwigulu

MBETO AWAONYA WAZANZIBAR KUNUNUA NYUMBA , KIWANJA HOLELA

WMA YAFUNGA MTAMBO WA KISASA UNAOHAKIKI DIRA ZA MAJI DODOMA*

DUNIA,MEMBE NA WENGINE WANNE WAHUKUMIWA VIFUNGO HIVI KWA MAKOSA YA UBAKAJI NA ULAWITI DAR

DIWANI NYANTORI AELEZA MAKUBWA YALIYOFANYWA KATA YA MBEZI,AMSHUKURU RAIS DKT SAMIA

RAIS DKT SAMIA AZIKUBALI JITIHADA ZA TMA AMTEUA DKT LADISLAUS CHANG'A KUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA HIYO

Diwani Sanga Aongoza Zoezi la Upandaji Miti Zahanati Mpya Saranga, Aeleza Mafanikio ya Siku 100 za Rais Samia