Skip to main content

Posts

Featured

MAAFISA VIPIMO WAWATEMBELEA WAJASIRIAMALI SABASABA NA KUWAPA ELIMU YA VIPIMO

 MAAFISA VIPIMO WAWATEMBELEA WAJASIRIAMALI SABASABA NA KUWAPA ELIMU YA VIPIMO  *_DAR ES SALAAM_* - Katika siku ya tano ya Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa (SabaSaba), Julai 2, 2026, Maafisa kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) wamewatembelea wajasiriamali mbalimbali na kuwapatia elimu ya vipimo. Wakiongozwa na Meneja wa WMA Mkoa wa Ki-vipimo Ilala, Bw. Muhono Nashon, wataalamu hao wa vipimo wamewaelimisha wajasiariamali wadogo wadogo namna sahihi ya uandishi wa alama katika vifungashio vya bidhaa zao ili zikidhi vigezo vya soko la kimataifa, pamoja na masuala mengine muhimu kuhusu vipimo. Akizungumzia hatua hiyo, Meneja Mawasiliano wa WMA, Bi Veronica Simba amesema ni mojawapo ya mbinu za kuwafikia wadau mbalimbali wa vipimo wanaoshiriki katika Maonesho hayo. Aidha, ameongeza kuwa, hatua hiyo pia imelenga kutekeleza maelekezo ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga ambaye awali alipotembelea Banda la Wizara pamoja na Taasisi zake, aliwataka watumishi hao kuwafuat...

Latest Posts

KIDUME KILIVYOMPIGA SHERE SIMBA

WIZARA YA NISHATI YASISITIZA USHIRIKIANO KUFIKIA ASILIMIA 80 YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034

MPINA AIBUA MASWALI KUHUSU DENI LA TAIFA, BEI YA MAFUTA NA MISAMAHA YA KODI KATIKA BAJETI YA 2026/27

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

WATANZANIA WATAKIWA KUWAKATAA WANAHARAKATI WALIOCHOCHEA VURUGU OKTOBA 29,WALILIPWA NA MABEBERU

JAJI MWAMBEGELE AWAPA NENO MAKARANI WA UCHAGUZI ISIMANI

Nemc yaadhimisha miaka 40 kwa kishindo tangu Kuanzishwa kwake.

KUTEKWA KWA DJUMBE KWAIBUA MASWALI

Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla