Skip to main content

Posts

Featured

JAFO AWATAKA WAISLAMU KUWATHAMINI WALIMU WA MADRASA,AWAPA MOTISHA

Na Mwandishi wetu, Dar es salaam  Mbunge wa Jimbo la Kisarawe ambaye pia ni mlezi wa taasisi ya  Asw-Haabul Kahfi Islamic Center Dkt Seleman Jafo amewataka waumini wa dini ya kiislamu kuwajali walimu wa madrasa kwani wanajitolea kuwajengea misingi Bora watoto wao. Jafo ameyasema hayo katika mashindano ya 11 ya kuhifadhi Quran tukufu yaliyoandaliwa na Kituo hicho na kufanyika March 7,2026 katika ukumbi wa Paradise Yombo dovya Wilayani Temeke jijini Dar es salaam huku mamia ya waumini wa dini ya kiislamu wakihudhuria. Amesema walimu wa madrasa wanafanyia Kazi kubwa katika mafundisho hasa ya kitabu kitakatifu Cha Quran hivyo wazazi wanatakiwa kuwakumbuka walimu hao kwani wengi wao wamekuwa wakiishi mazingira magumu. "hakuna malipo yanayofanana kwa Ile Kazi mnayoifanya walimu wa madrasa kwa Ile Kazi ya mwenyezi Mungu na Allah awalipe kwa wingi wa wema kwa jambo hili mnalolifanya kwa vijana wetu Mungu atuingize katika pepo yake Walimu wa madrasa hawana maisha mazuri hivyo wanatakiw...

Latest Posts

MCHANGO WA WMA KUWEZESHA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE WATAMBULIWA

KAMPUNI YA ZERA YAZINDUA MAGARI YANAYOTUMIA UMEME, UKICHAJI UNATEMBEA KM 300

WANAWAKE WA TANESCO WANG’ARA KATIKA KONGAMANO LA NISHATI SAFI DAR ES SALAAM

ACT Wazalendo wazindua mnara wa kumbukizi ya waliopoteza maisha Oktoba 29 kuelekea siku ya Wanawake ulimwenguni

RAIS DKT.MWINYI:MASHINDANO YA QURAAN YANAIWEKA TANZANIA KWENYE RAMANI YA KIMATAIFA

RAIS SAMIA KUZINDUA MATANKO 15 YA MAFUTA DAR KESHO, WANANCHI WAITWA

RC CHALAMILA AINGIA VITANI NA WAPORAJI ARDHI NA UTAPELI WA AINA DAR,AWATANGAZIA KIAMA

DAR CITY TEAM PEKEE TANZANIA KUNDI MOJA NA VIGOGO AFRIKA

ACT WAZALENDO KUTOADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI,KUJA NA HILI

JIJI LA DAR ES SALAAM LAJIVINIA KUTEKELEZA ZAIDI YA ASILIMIA 89 YA MIRADI YA MAENDELEO, BILIONI 1 YAWEKEZWA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA