Skip to main content

Posts

Featured

D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI

  D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI Dar es salaam-  Msanii maarufu wa muziki wa singeli hapa nchini kutoka lebo namba moja ya burudani Afrika ya Mashariki WCB,D Voice Leo amekabidhiwa gari na kampuni ya Kwanza Oil ambayo ataitumia katika tour yake  katika Mikoa 15 hapa nchini. Tour hiyo ambayo ameipa jina la D Voice tour 2026 itaanza katika Mikoa 10 kote nchini Tanzania na baadaye kwenda katika nchi mbalimbali Afrika Mashariki inatajwa kama tour kubwa kuwahi kufanywa na msanii wa Singeli hapa nchini. Akizungumza na waandishi wa Habari katika hafla fupi ya kukabidhiwa gari hilo iliyofanyika leo March 18,2026 Jijini Dar es salaam,msanii D Voice ameishukuru kampuni ya Kwanza Oil kwa Kudhamini matamasha yake ya muziki ambayo atayafanya hapa nchini akianzia Kanda ya ziwa katika Jiji la Mwanza huku akiahidi kutoa zawadi mbalimbali za mafuta kwa akina mama  katika Kila Mkoa atakaopita. Amesema kukabidhiwa gari hilo ni ishara kwamba ka...

Latest Posts

Fainali za Kabwili Cup 2026 Kutikisa Dar , Bingwa Kuzawadiwa Gari Alhamis hii

NSSF YAJIVUNIA UWEKEZAJI KUPITIA MRADI WA MZIZIMA TOWERS NA FURSA MPYA ZA BIASHARA NA UTALII DAR

MKUTANO WA TANZANIA NA UGANDA KUIMARISHA USHIRIKIANO WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

MAJALIWA AFUTURISHA WAUMINI MBALIMBALI WA DINI YA KIISLAM KATIKA IFTAR MAALUM DAR ES SALAAM

JAFO AWATAKA WAISLAMU KUWATHAMINI WALIMU WA MADRASA,AWAPA MOTISHA

MCHANGO WA WMA KUWEZESHA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE WATAMBULIWA

KAMPUNI YA ZERA YAZINDUA MAGARI YANAYOTUMIA UMEME, UKICHAJI UNATEMBEA KM 300

WANAWAKE WA TANESCO WANG’ARA KATIKA KONGAMANO LA NISHATI SAFI DAR ES SALAAM

ACT Wazalendo wazindua mnara wa kumbukizi ya waliopoteza maisha Oktoba 29 kuelekea siku ya Wanawake ulimwenguni