Skip to main content

Posts

Featured

SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI

 SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI Serikali imesema maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani mwaka huu yataweka mkazo katika afya ya akili kazini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupunguza ajali, magonjwa na vifo vinavyotokana na shughuli za kikazi. Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kilele cha maadhimisho hayo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano Kazini), Deus Clement Sangu, amesema lengo ni kuongeza uelewa na kuhamasisha uboreshaji wa mazingira ya kazi nchini. Amesema maadhimisho hayo yalianza kuadhimishwa rasmi mwaka 2004 na kwa mwaka huu yatafanyika kitaifa mkoani Njombe, yakiratibiwa na Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwa kushirikiana na wadau wa utatu ambao ni Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) pamoja na Shirika la Kazi Duniani (ILO). Kwa mujibu wa Waziri huyo, kauli mbiu ya mwaka huu ni “Mazingira Bora ya Kaz...

Latest Posts

VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA.

KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LAJA NA SWIFPACK,LAINGIA MKATABA NA MADEREVA DAR

TANZANIA NI NCHI TAJIRI WAZEE WETU WALITUACHIA RASILIMALI TUZITUMIE VIZURI:SHIGONGO

FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA

MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA

WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI*

D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI

Fainali za Kabwili Cup 2026 Kutikisa Dar , Bingwa Kuzawadiwa Gari Alhamis hii

NSSF YAJIVUNIA UWEKEZAJI KUPITIA MRADI WA MZIZIMA TOWERS NA FURSA MPYA ZA BIASHARA NA UTALII DAR