Skip to main content

Posts

Featured

KILIBA AWATAKA VIJANA KUTOTUMIWA NA WANAOTAKA KUIHARIBU TANZANIA.

  KILIBA AWATAKA VIJANA KUTOTUMIWA NA WANAOTAKA KUIHARIBU TANZANIA. Mwenyekiti wa taasisi ya mama asemewe Taifa,Geofrey Kiliba amewataka Vijana kutokushiriki katika harakati za kisiasa zinazolenga kubomoa na kudhoofisha maslahi ya vijana hapa nchini. Kiliba ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam ambao amesema kuwa vijana ni hazina kubwa ya Taifa na endapo itarubuniwa na wanasiasa wasioitakia mema Tanzania basi inaweza kuwa na madhara makubwa. Amesema Umma wa vijana unapaswa kuelimishwa na kutobebeshwa ajenda za kuliharibu Taifa,kwani watakapoliharibu hawatakuwa na sehemu nyingine ya kukimblia. "Wamekuwa wakiwahadaa vijana eti wasiwaamini viongozi wao waliowachagua kwa taratibu na katiba ambayo imekuwa ikiaminika siku zote hivyo vijana wasikubali kuhadaika" amesema. Amesema mambo wanayoyafanya wale wanaowarubuni vijana kuingiza Taifa katika machafuko hayakubaliki na yakifumbiwa macho yanaweza kuigharimu Tanzania hivyo vijana wasidangan...

Latest Posts

MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026

SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI

VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA.

KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LAJA NA SWIFPACK,LAINGIA MKATABA NA MADEREVA DAR

TANZANIA NI NCHI TAJIRI WAZEE WETU WALITUACHIA RASILIMALI TUZITUMIE VIZURI:SHIGONGO

FORTUNE PAPER GROUP YA KICHINA YAWEKEZA TANZANIA INA KIWANDA KIBAHA TSH BILIONI 154 ZATUMIKA

MTENDAJI MKUU WMA AITAKA MENEJIMENTI KUMSAIDIA RAIS SAMIA

WAKALA WA VIPIMO WAITIKIA WITO WA RAIS SAMIA KUHUSU UPANDAJI MITI*

D VOICE ATANGAZA KUANZA KWA MATAMASHA YAKE TANZANIA,KWANZA OIL YAMPA GARI