Skip to main content

Posts

Featured

MAFUNDI NA WAUNDAJI VIPIMO NCHINI WAASWA KUENDANA NA TEKNOLOJIA

 MAFUNDI NA WAUNDAJI VIPIMO NCHINI WAASWA KUENDANA NA TEKNOLOJIA* Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Francis Olwero akizungumza na mafundi na waundaji wa vipimo mbalimbali wakati wa kikao kazi kilichofanyika baina yao na WMA Mkoa wa Dodoma, Februari 18, 2026 Dodoma kwa lengo la kujadiliana masuala muhimu kuhusu sekta hiyo.* Na WMA - Dodoma Mafundi wa vipimo, waundaji wa mizani pamoja na wapimaji wa matanki ya kuhifadhia mafuta ardhini wameshauriwa kuelekeza nguvu katika vipimo vya kidijitali kutokana na maendeleo ya teknolojia yanayoleta mabadiliko kila siku. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi, Wakala wa Vipimo (WMA), Francis Olwero, wakati wa kikao kazi na mafunzo kwa kundi hilo, yaliyoandaliwa na Ofisi ya WMA Mkoa wa Dodoma na kufanyika Februari 18, 2026. Akifungua kikao kazi na mafunzo hayo, Mkurugenzi Olwero aliwaambia washiriki kuwa kukua kwa teknolojia kunailazimu sekta ya vipimo kuendana na mabadiliko yanayotokea ili kazi zien...

Latest Posts

SBL YAJA NA VIN NKOLOMBOKA,SULUHISHO LA WANAUME

Diwani Manyinya Azindua Kituo cha maegesho ya Bodaboda Kivule, Atoa Onyo Kali kwa 'wanaoichukulia poa' Kazi hiyo

SERIKALI YATENGA BILLIONI 13 KUWEZESHA UJENZI WA OFISI ZA TMA

BROTHERS ACADEMY 'KUMFUNDISHA' BABA LEVO MASOMO YA SEKONDARI,AJIUNGA NAO

PROF. SHEMDOE AKUTANA NA WAKUU WAPYA MIKOA YA KAGERA NA MTWARA KUJIPANGA KIUTENDAJI

MAKONDA: MAREKEBISHO UWANJA WA BENJAMIN MKAPA KUELEKEA AFCON 2027 YANAENDELEA VIZURI

KAMISHNA KUJI AFANYA ZIARA YA KIKAZI HIFADHI YA TAIFA NYERERE

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Tonali kuziba pengo la Casemiro Man United?

Singida Black Stars Watupwa Nje ya CAFCC Baada ya Kifungwa 1-0 na CR Belouizdad

JE ?YANGA WANA MATUMAINI YAKUTOSHA KIMATAIFA?