Skip to main content

Posts

Featured

KIDUME KILIVYOMPIGA SHERE SIMBA

  KIDUME KILIVYOMPIGA SHERE SIMBA NA MWANDISHI WETU Jacob Lekumbere,Afisa Utalii kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro hatosahau siku alipotumia mbinu za kimedani kumkwepa simba aliyetazamana naye uso kwa uso. Jacob akiwa ndani ya hifadhi ya Ngorongoro,hifadhi iliyojaa kila aina ya wanyama siku hiyo aliamka asubuhi kuelekea kwenye majukumu yake. Akiwa porini alikutana na pundamilia,alipowaangalia wale pundamilia walikuwa wamekaa mkao wa tahadhari,Jacob machale naye yakamcheza akaanza kutembea kwa tahadhari. Mara paaa,kutupa jicho umbali wa mita tatu simba jike yupo mbele yake,alichofanya Jacob ni kumuangalia usoni simba yule,wote wawili wakawa wanaangaliana. Jacob alimuangalia simba na simba naye alimuangalia Jacob,Jacob alipomuona simba hachezeshi masikio wala mkia akajua simba hajakasirika. Kilichofuata Jacob akawa kila baada ya sekunde kadhaa anarudi nyuma kidogo kidogo mpaka akafika umbali wa mita 40 huku simba akiwa amesimama anatafakari la kufanya,hatimaye Jacob akajiokoa. ...

Latest Posts

WIZARA YA NISHATI YASISITIZA USHIRIKIANO KUFIKIA ASILIMIA 80 YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2034

MPINA AIBUA MASWALI KUHUSU DENI LA TAIFA, BEI YA MAFUTA NA MISAMAHA YA KODI KATIKA BAJETI YA 2026/27

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

WATANZANIA WATAKIWA KUWAKATAA WANAHARAKATI WALIOCHOCHEA VURUGU OKTOBA 29,WALILIPWA NA MABEBERU

JAJI MWAMBEGELE AWAPA NENO MAKARANI WA UCHAGUZI ISIMANI

Nemc yaadhimisha miaka 40 kwa kishindo tangu Kuanzishwa kwake.

KUTEKWA KWA DJUMBE KWAIBUA MASWALI

Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla

SEHEMU YA KICHA CHA JAMES TEMBA YAPATIKANA,POLISI YAMTIA MBARONI MGANGA