Skip to main content

Posts

Featured

DAR CITY TEAM PEKEE TANZANIA KUNDI MOJA NA VIGOGO AFRIKA

 DAR CITY TEAM PEKEE TANZANIA KUNDI MOJA NA VIGOGO AFRIKA Hatimaye Basketball Africa League (BAL) imetangaza rasmi makundi mawili yatakayounda hatua ya awali ya msimu wa mwaka 2026, pamoja na ratiba ya michezo itakayofanyika katika nchi mbalimbali barani Afrika ambapo timu ya mpira wa kikapu kutokea Tanzania @darcitybasketball ikiwa ni miongoni mwao. Msimu wa 2026 utaanza rasmi kwa Kalahari Conference itakayochezwa mjini Pretoria, South Africa kuanzia Machi 27 hadi Aprili 5, 2026. @darcitybasketball kutoka Tanzania ipo katika kundi la Timu za Afrika Kusini ambalo Michezo itafanyika Pretoria lakini pia ndio timu pekee inayoiwakilisha Tanzania michuano ya Kimataifa. KALAHARI CONFERENCE - Pretoria (27 Machi — 5Aprili) Timu zitakazoshiriki ni: * Al Ahly Benghazi - Libya * APR BBC - Rwanda * Dar City - Tanzania * Nairobi City Thunder - Kenya * ⁠petro de luanda * ⁠johnesubarg giants Baada ya hapo, mashindano yatahamia Afrika Kaskazini kwa Sahara Conference itakayofanyika mjini Ra...

Latest Posts

ACT WAZALENDO KUTOADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI,KUJA NA HILI

JIJI LA DAR ES SALAAM LAJIVINIA KUTEKELEZA ZAIDI YA ASILIMIA 89 YA MIRADI YA MAENDELEO, BILIONI 1 YAWEKEZWA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA

Mashindano ya Qur’an Yaliyoandaliwa na Aisha Sururu Foundation Yafana Jijini Dar es Salaam

MAONESHO YA ADORABLE WEDDING TRADE FAIR 2026 KUFANYIKA APRILI 17–19 EACLC UBUNGO

KAMISHNA MKUU TRA AAGIZA ICD KUFANYA KAZI SAA 24 KUONGEZA UFANISI

TRA yasisitiza umuhimu wa Waendeshaji wa Bandari kavu (ICDS) Kutokwepa Kodi

MAFUNDI NA WAUNDAJI VIPIMO NCHINI WAASWA KUENDANA NA TEKNOLOJIA

CUF YAPINGA MAAMUZI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,POLISI YAWAFUATA NA KUHIMIZA UTULIVU