Skip to main content

Posts

Featured

Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla

 Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla  Na Veronica Simba - WMA DODOMA - Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Alban Kihulla amewaambia Waheshimiwa Wabunge kuwa WMA hufanya uhakiki wa mitungi ya gesi ya kupikia inayouzwa nchini ili kujiridhisha kuhusu ujazo wake kabla ya kuingia sokoni. Akizungumza katika semina kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo kuhusu majukumu ya Wizara ya Viwanda na Biashara na Taasisi zake iliyofanyika Mei 13, 2026 Bungeni Dodoma, Kihulla alisisitiza kuwa jukumu la WMA ni kuhakiki na kusimamia usahihi wa vipimo katika sekta zote, ikiwemo nishati. Hata hivyo amewahimiza wananchi wakiwemo wabunge kuchukua tahadhari zaidi wakati wa kununua gesi. “Kabla ya kununua gesi, hakikisheni mtungi huo unapimwa na muuzaji mbele yenu ili kujiridhisha kuhusu ujazo wake. Epukeni kununua gesi kutoka kwa wauzaji wasio na mizani, kwa sababu hutaweza kujua kama gesi uliyonunua ina ujazo sahihi kama ilivyoandikw...

Latest Posts

SEHEMU YA KICHA CHA JAMES TEMBA YAPATIKANA,POLISI YAMTIA MBARONI MGANGA

UJIO WA KAGAME, RUTO AIBU KWA MAKUWADI WA KISIASA EA - MBETO

VIJANA ACT WAZALENDO WASHAURI KUPUNGUZWA KWA KODI ZA MAFUTA ILI KULETA UNAFUU WA MAISHA KWA WATANZANIA

NJOMBE YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

DKT. NEEMA MAJULE: MAJI YASIWE KWENYE MAKARATASI TENA, TUFANYE UTAFITI

DC KILWA AIPONGEZA TANESCO KWA KUJIPANGA KUFIKISHA UMEME KATIKA BANDARI YA UVUVI - KILWA.

BAADA YA RIPOTI YA JAJI CHANDE,ACT YAJA NA MAPENDEKEZO LUKUKI

KILIBA AWATAKA VIJANA KUTOTUMIWA NA WANAOTAKA KUIHARIBU TANZANIA.

MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026

SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI