Skip to main content

Posts

Featured

RAIS DKT SAMIA KUZINDUA SOKO LA KARIAKOO JUMAPILI HII

  RAIS DKT SAMIA KUZINDUA SOKO LA KARIAKOO JUMAPILI HII Na Mwandishi wetu RAIS  wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzindua soko kuu la Kariakoo  Februari 8, 2026 baada ya kukam Hayo yamebainishwa Jijini Dar es salaam mapema leo Februari 6,2026 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila wakati akizugumza na waandishi wa habari. Amesema  soko hilo kwa sasa limekamilika kwa asilimia 100 ambapo zaidi ya shilingi bilioni 28 zimetumika kukarabati na kujenga soko jipya likiwa na takribani vizimba zaidi ya 1500 kwa ajili ya wafanyabiashara "Nawaomba  wananchi wakazi wa Mkoa Dar es salaam na wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa kujitokeza kwenye uzinduzi huo wa Soko la kariakoo ili kumuunga mkono Rais Dokta Samia lakini pia kuweka historia ya tukio hilo kubwa linalotarajiwa kuwa ni kiungo muhimu katika kujenga uchumi wa Mkoa huu na Taifa kwa ujumla"amesema  Aidha  Chalamila amewataka wafanyabiashara wadogo ambao ...

Latest Posts

TMA YATANGAZA MWELEKEO WA MVUA ZA MASIKA NCHINI,YATOA TAHADHARI HIZI

MARUFUKU MICHANGO HOLELA KWENYE SHULE ZA KATA YANGU: DIWANI MUSHI

MCHANGE AILIPUA CHADEMA/ AWATAKA WAACHE KUPOTOSHA

HUU HAPA UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO NCHINI TANZANIA KUANZIA SAA 3 USIKU WA LEO

Serikali kununua matrekta 10000-Dk. Mwigulu

MBETO AWAONYA WAZANZIBAR KUNUNUA NYUMBA , KIWANJA HOLELA

WMA YAFUNGA MTAMBO WA KISASA UNAOHAKIKI DIRA ZA MAJI DODOMA*

DUNIA,MEMBE NA WENGINE WANNE WAHUKUMIWA VIFUNGO HIVI KWA MAKOSA YA UBAKAJI NA ULAWITI DAR

DIWANI NYANTORI AELEZA MAKUBWA YALIYOFANYWA KATA YA MBEZI,AMSHUKURU RAIS DKT SAMIA

RAIS DKT SAMIA AZIKUBALI JITIHADA ZA TMA AMTEUA DKT LADISLAUS CHANG'A KUWA MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA HIYO