Skip to main content

Posts

Featured

UJIO WA KAGAME, RUTO AIBU KWA MAKUWADI WA KISIASA EA - MBETO

  UJIO WA KAGAME, RUTO AIBU KWA MAKUWADI WA KISIASA EA - MBETO Na Mwandishi Wetu - Chama Cha Mapinduzi kimetaja ziara za Marais wa Rwanda na Kenya nchini ni majibu tosha kwa Wanasiasa na Wanaharakati uchwara, wanaojihusisha na Ukuwadi wa Kisiasa Afrika Mashariki. Hivyo basi, CCM kimewataka Wana Afrika Mashariki wote kupuuza uvumi usio na mashiko ukidai Mataifa EA hayana Uhusiano Mwema .  Matamshi hayo yametamkwa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis ofisini kwake kisiwandui Visiwani Zanzibar. Mbeto alieleza hayo mara baada ya Marais hao kuitembelea nchi huku akieleza kuwa Uhusiano wa Tanzania kidiplomasia wa Kikanda na Kimataifa ,hautadhoofika  Mbeto alisema wapo baadhi ya Wanasiasa na Wanaharakati Uchwara EA ambao uelewa wao ni hafifu katika Uongozi, Siasa na Utawala, hueneza taarifa hasi zikidai Tanzania haina Uhusiano mzuri na Nchi jirani.  Alisema Tanzania itaendelea kufuata kanuni, taratibu, misingi ...

Latest Posts

VIJANA ACT WAZALENDO WASHAURI KUPUNGUZWA KWA KODI ZA MAFUTA ILI KULETA UNAFUU WA MAISHA KWA WATANZANIA

NJOMBE YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

DKT. NEEMA MAJULE: MAJI YASIWE KWENYE MAKARATASI TENA, TUFANYE UTAFITI

DC KILWA AIPONGEZA TANESCO KWA KUJIPANGA KUFIKISHA UMEME KATIKA BANDARI YA UVUVI - KILWA.

BAADA YA RIPOTI YA JAJI CHANDE,ACT YAJA NA MAPENDEKEZO LUKUKI

KILIBA AWATAKA VIJANA KUTOTUMIWA NA WANAOTAKA KUIHARIBU TANZANIA.

MTENDAJI MKUU WMA ATUMA UJUMBE WA PONGEZI KWA WAFANYAKAZI WAKIADHIMISHA MEI MOSI 2026

SIKU YA USALAMA NA AFYA KAZINI APRILI 28 KUANGAZIA USTAWI WA WAFANYAKAZI

VIJANA ACT WATAKA WIZARA YA VIJANA ITENGE FEDHA NYINGI KWA VIJANA.

KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA