Skip to main content

Posts

Featured

ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA

 ELIMU YA VIPIMO YAWAVUTIA WANANCHI, WAAHIDI KUWA MABALOZI WA KUJITOLEA Dodoma* – “Sasa najua ni nini ninapaswa kuangalia ninapojaza mafuta, kununua sukari au hata ninaponunua gesi ya kupikia.” Ni kauli ya Bw. Bilson Vedastus, mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika Maonesho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea Viwanja vya Chinangali Park, Dodoma. Banda hilo limekuwa kitovu cha msongamano siku ya tatu ya maonesho, Juni 18, 2026 huku wananchi wakijitokeza kwa wingi kujifunza jinsi Serikali kupitia WMA inavyohakikisha kila kipimo kinachotumika kibiashara na katika huduma ni sahihi. Maonesho yalianza tarehe 16 Juni na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 23 Juni 2026. Baada ya kupata maelezo ya hatua kwa hatua kutoka kwa wataalamu, wengi wameahidi kuwa mabalozi wa Wakala wa Vipimo katika maeneo yao.  “Tumeona jinsi pampu, mizani na vifaa vingine vinavyohakikiwa kuhakikisha vinapima kwa usahihi. Sasa hatuwezi kukaa kimya tukiona mteja ana...

Latest Posts

WADAU WAVUTIWA ELIMU YA VIPIMO MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

WATANZANIA WATAKIWA KUWAKATAA WANAHARAKATI WALIOCHOCHEA VURUGU OKTOBA 29,WALILIPWA NA MABEBERU

JAJI MWAMBEGELE AWAPA NENO MAKARANI WA UCHAGUZI ISIMANI

Nemc yaadhimisha miaka 40 kwa kishindo tangu Kuanzishwa kwake.

KUTEKWA KWA DJUMBE KWAIBUA MASWALI

Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla

SEHEMU YA KICHA CHA JAMES TEMBA YAPATIKANA,POLISI YAMTIA MBARONI MGANGA

UJIO WA KAGAME, RUTO AIBU KWA MAKUWADI WA KISIASA EA - MBETO

VIJANA ACT WAZALENDO WASHAURI KUPUNGUZWA KWA KODI ZA MAFUTA ILI KULETA UNAFUU WA MAISHA KWA WATANZANIA

NJOMBE YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI