DC MBONEKO AZINDUA VITABU VYA KUBORESHA ELIMU MANISPAA YA SHINYANGA

 

DC MBONEKO AZINDUA VITABU VYA KUBORESHA ELIMU MANISPAA YA SHINYANGA


Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akionesha Vitabu vya Mkakati wa Kuboresha Elimu nchini leo Ijumaa Septemba 16,2022 kwenye kikao cha wadau wa elimu katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Getrude Gisema.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akionesha Vitabu vya Mkakati wa Kuboresha Elimu nchini leo Ijumaa Septemba 16,2022 kwenye kikao cha wadau wa elimu katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Ramadhani Masumbuko, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Getrude Gisema.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akionesha Vitabu vya Mkakati wa Kuboresha Elimu nchini leo Ijumaa Septemba 16,2022 kwenye kikao cha wadau wa elimu katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Getrude Gisema.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akionesha Vitabu vya Mkakati wa Kuboresha Elimu nchini leo Ijumaa Septemba 16,2022 kwenye kikao cha wadau wa elimu katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga.Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Ramadhani Masumbuko, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Getrude Gisema.

Comments